Harusi ya Kishetani


Ibada inapaswa kufanywa wakati wa mwezi unaokua. Mwezi unapaswa kuwa katika ishara nzuri kwa ndoa.

Hekalu linapaswa kupambwa kulingana na ladha ya wanandoa. Marekebisho yanapaswa kufanywa ili kuendana na kila wanandoa, ufuatao ni mwongozo tu:

Kuhani Mkuu/mke hufungua ibada kwa kugonga kengele na kuchora pentagramu hewani kwa athame yake na kukariri yafuatayo:

In Nomine Dei Nostri Satanas, Luciferi Excelsi. Kwa Jina ya Shetani, Mtawala wa Dunia, Mungu wa Ukweli, *Almighty na Ineffable, Yule aliumba binadamu to reflect in Thine own image and likeness, Tunakaribisha Vikosi wa Kizimu watupatie nguvu zao *infernal . Njoo utusalimie na *confer baraka nyeusi kwa hawa wanadoa wanataka kukua moja kwa macho za Lucifer.

Kuhani Mkuu/mke anakunywa kutoka kwenye kikombe na kuwaita Wakuu Wanne wa Kuzimu wenye Taji:

Kuhani Mkuu/mke sasa anakariri yafuatayo:

Tunakusanyika pamoja katika Jina la Baba yetu na Bwana Shetani aunganishe_______na________pamoja katika ndoa.

Kuhani Mkuu/mke anachukua athame yake na kuchora duara kuzunguka bibi na bwana harusi. Wote wanapaswa *visualize mwanga wa buluu unaowakilisha Nguvu za Kuzimu. Kisha anakariri yafuatayo:

*Almighty Shetani, uwaangalie wanafunzi wako na *favor________na_________. Wote wawili wamekuja hapa kwa hiari yao wenyewe. Wanakuja mbele yako kuomba baraka zako wanapoanza siku hii kama mume na mke. Tunakuomba ubariki muungano huu kwa tamaa na anasa za maisha, kwamba mapenzi yao ya pamoja na hamu ya kila mmoja wao yaendelee kuwa na nguvu na ya kudumu.

Unatamani ____________ kwa hiari yako kuchukua __________ kama mume wako aliyeolewa kihalali kwa upendo, *honor na heshima; kuwa kama kitu kimoja machoni pa Shetani na mbele ya nguvu za Kuzimu?

Bibi: Nataka au Ndio

Kuhani Mkuu: Unatamani ____________ kwa hiari yako kuchukua __________ kama mke wako wa ndoa halali kupendwa, honor na heshima; kuwa kama kitu kimoja machoni pa Shetani na mbele ya nguvu za Kuzimu?

Bwana: Nataka au Ndio

Wote wabadilishane pete

Kuhani Mkuu: Katika Jina la Shetani na mbele ya Pepo wote wa Kuzimu, ninakutamka wewe Mume na Mke. Muungano wako uwe na nguvu, nguvu na furaha tele. *HAIL SATAN!!

Kila mtu katika kutaniko anapaza sauti “HAIL SATAN!!” Kuhani Mkuu/mke kisha anakariri, kuimba au kutetema Ufunguo wa Kwanza wa *Enochian [Hii ni hiari]:

OHL • ZOH-nuhf • voh-ruh-SAH-jzhuh GO-ho • SAY-TAN • LOH-nuh-suh • KAH-luhtz
OHD • VOH-ruhss • kah-OHS-suh-goh;
ZOH-buh-rah • ZOHL • ROH-ruh
EE • TAH • NAHTS-puh-suh
OHD • guh-RAH-ah • TAH
MAH-luh-puh-ruh-jzhuh: • DAHSS • HOH-luh-kah
KAH-AH • noh-tuh-HOH-ah • ZEE-muhts • OHD
KOH-muh-mah • TAH • NOH-buh-loh
zee-AYN • OHD • LOO-SEEF-tee-uhn
OH-boh-lay • AH
DOH-nahss-doh-gah-MAH-tahss-tohss
OH • oh-hoh-RAY-lah • TAH-bah • OHL
NOH-ray • OHD • PAH-suh-buhs • OHL
zoh-nuh-RAY-nuh-suhjzh vah-OH-ahn • OHD
toh-OH-aht • NOH-noo-KAH-fay
guh-MEE-kah-luh-ZOH-mah • PEE-lah
FAH-ruh-zuhm • zuh-nuh-ruh-JZHAH • OHD
ZOO-ruh-jzhahs • AH-duh-nah • OHD
GOH-noh • DAY • SAY-TAN • DAHS • HOHM
OHD • TOH • ZOH-bah • kuh-ROH-ohd-zee
EE-pahm • OOL • VUH-LUHS • ee-PAH-meess
DAHSS • loh-HOH-loh • Vayp
noh-tuh-HOH-ah • poh-AH-mahl • OHD
BOH-guh-pah • ah-AH-ee • TAH • PEE-ahp
pee-AH-mohl • OHD • vah-OH-ahn • zah-KAH-ray
KAH • OHD • ZAH-muh-rahn! • OH-doh
KEE-kuh-lay • KAH-ah! • ZOH-ruh-jzhay!
ZEE-ruh • NOH-koh! • hoh-AH-tuh-huh
SAY-TAN • BUH-vuh-fuhd • LOH-nuh-suh
LOH-nuh-doh • bah-BAH-jzhay

Kuhani MkuuNendeni kama kitu kimoja, weka kila mmoja kuwa na nguvu katika Shetani wakati sasa mnatembea pamoja kwenye Njia ya Mkono wa Kushoto. Shetani akupe baraka nyingi njiani. Ave Satanas!!

Wanadoa pamoja: Ave Satanas!!

Kuhani Mkuu: *Hail Satan!! Congregation: Hail Satan!!

Ibada inafungwa na Kuhani Mkuu akipiga kengele.

Baadaye, kuna sherehe kali.


Rudi kwenye Ukurasa wa Ibada za Kishetani